Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 120
  • Tukuwe Wapole Kama Kristo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tukuwe Wapole Kama Kristo
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upole​—Unatuletea Faida Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Tafuta Upole ili Kumupendeza Yehova
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Upole Haiko Uzaifu, Ni Nguvu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 120

WIMBO 120

Tukuwe Wapole Kama Kristo

Maandishi

(Matayo 11:28-30)

  1. 1. Yesu Kristo alikuwa mukubwa,

    Lakini hakukuwa na kiburi.

    Hata kama alikuwa na cheo,

    Alijishushaka mu mambo yote.

  2. 2. Wale wenye wako wanateseka,

    Watupie Yesu mizigo yao.

    Na wakitafuta kwanza Ufalme,

    Atawasaidia kwa upole.

  3. 3. Yesu alisema: ‘tuko wandugu,’

    Tusikuwe watu wa kujivuna.

    Yehova anapendaka wapole,

    Na njo wenye watariti dunia.

(Ona pia Mez. 3:34; Mt. 5:5; 23:8; Ro. 12:16.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine