Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • th somo ya 17 uku. 20
  • Kusema Mambo ya Kueleweka

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kusema Mambo ya Kueleweka
  • Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kufundisha Kabisa Wasikilizaji Wako
    Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
  • Uchangamufu
    Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
  • Namna ya Kuzungumuza
    Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
  • Kufasiria Waziwazi Sababu ya Kutumia Andiko
    Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
Ona Habari Zaidi
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha
th somo ya 17 uku. 20

SOMO YA 17

Kusema Mambo ya Kueleweka

Andiko

1 Wakorinto 14:9

JAMBO LA KUFANYA: Saidia wasikilizaji wako waelewe maana ya habari yako.

NAMNA YA KUFANYA VILE:

  • Jifunze habari yako muzuri kabisa. Elewa habari muzuri juu uweze kuifasiria mu njia ya mwepesi na mu maneno yako.

  • Tumia misemwa ya mufupi-mufupi na ya mwepesi. Hata kama haiko mubaya kutumia misemwa ya murefu-murefu, sema mambo ya maana kwa kutumia misemwa ya mufupi-mufupi.

    Shauri

    Tosha habari yenye haiko ya lazima yenye inaweza kuvuruga ao kulemea wasikilizaji wako. Tumia zaidi sana maneno ya mwepesi, hapana maneno ya nguvu.

  • Fasiria maneno yenye haijulikane sana. Usitumie sana maneno yenye wasikilizaji wako hawajue. Kama ni lazima utumie neno lenye halijulikane sana, ao kuzungumuzia mutu fulani mu Biblia mwenye hajulikane sana, ao kipimo ao desturi fulani ya zamani, leta mafasirio.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine