WIMBO 112
Yehova Ni Mungu wa Amani
Maandishi
1. Mungu wa upendo,
Baba tunakuomba:
Tupatie roho yako
Tukuwe na amani.
Kupitia Yesu
Tunakukaribia.
Tunapenda uitike
Kuwa rafiki yetu.
2. Roho takatifu
Na pia Neno yako
Njo viko natuongoza
Mu giza ya dunia.
Mbele umalize
Vita, mateso pia,
Yehova tusaidie
Tukuwe na amani.
3. Watumishi wako
Ulishawakusanya;
Wanatumika pamoja
Kutangaza Ufalme.
Hivi karibuni
Utamaliza vita;
Na wapole wataishi
Milele kwa amani.
(Ona pia Zb. 4:8; Flp. 4:6, 7; 1 Te. 5:23.)