Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 112
  • Yehova Ni Mungu wa Amani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Ni Mungu wa Amani
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Amani—Namna Gani Unaweza Kuipata?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 112

WIMBO 112

Yehova Ni Mungu wa Amani

Maandishi

(Wafilipi 4:9)

  1. 1. Mungu wa upendo,

    Baba tunakuomba:

    Tupatie roho yako

    Tukuwe na amani.

    Kupitia Yesu

    Tunakukaribia.

    Tunapenda uitike

    Kuwa rafiki yetu.

  2. 2. Roho takatifu

    Na pia Neno yako

    Njo viko natuongoza

    Mu giza ya dunia.

    Mbele umalize

    Vita, mateso pia,

    Yehova tusaidie

    Tukuwe na amani.

  3. 3. Watumishi wako

    Ulishawakusanya;

    Wanatumika pamoja

    Kutangaza Ufalme.

    Hivi karibuni

    Utamaliza vita;

    Na wapole wataishi

    Milele kwa amani.

(Ona pia Zb. 4:8; Flp. 4:6, 7; 1 Te. 5:23.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine