WIMBO 121
Tukomalishe Sifa ya Kujizuia
Maandishi
	- 1. Tunamupenda sana Yehova. - Lakini tuko tu watenda-zambi; - Ni lazima tujizuie, - Kusudi tusifanye zambi. 
- 2. Shetani iko natujaribu, - Tena zambi iko natutawala. - Lakini kwa nguvu ya Mungu, - Tutaweza kujizuia. 
- 3. Kwa maneno na matendo yetu, - Tumupatie Mungu utukufu. - Basi tujikaze kabisa - Kujizuia kila siku. 
(Ona pia 1 Ko. 9:25; Gal. 5:23; 2 Pe. 1:6.)