Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 136
  • Yehova Atakupatia “Malipo Kamili”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Atakupatia “Malipo Kamili”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Nitakutumikia kwa Nafsi Yangu Yote
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Yehova Ni Kimbilio Yangu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 136

WIMBO 136

Yehova Atakupatia “Malipo Kamili”

Maandishi

(Rutu 2:12)

  1. 1. Yehova kweli ni muaminifu,

    Na hawezi kusahau

    Watumishi wake waaminifu,

    Hata wapate magumu.

    Ukiacha nyumba na familia,

    Atakupatia ndugu

    Ili wakuwe marafiki wako.

    Na utaishi milele.

    (REFREE)

    Basi, Yehova akubariki,

    Na akulipe kwa kazi yako.

    Kwa hiyo umukimbilie.

    Haseme uongo, ni mwaminifu.

  2. 2. Inawezekana uwaze kama

    Maisha inachokesha.

    Magumu inaweza kuwa mingi

    Na inakuvunja moyo.

    Yehova anajua mambo yote;

    Usali, atasikia

    Na atakufariji kupitia

    Ndugu na pia Biblia.

    (REFREE)

    Basi, Yehova akubariki,

    Na akulipe kwa kazi yako.

    Kwa hiyo umukimbilie.

    Haseme uongo, ni mwaminifu.

(Ona pia Amu. 11:38-40; Isa. 41:10.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine