Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 133
  • Umuabudu Yehova Wakati Ungali Kijana

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Umuabudu Yehova Wakati Ungali Kijana
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Wazazi Wenye Furaha!
    Huduma Yetu ya Ufalme—1996
  • Tunamupenda Sana Yehova, Baba Yetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 133

WIMBO 133

Umuabudu Yehova Wakati Ungali Kijana

Maandishi

(Muhubiri 12:1)

  1. 1. Yehova anakupenda sana.

    Uko mutu wa maana sana.

    Basi umutumikie sana,

    Naye atakubariki sana.

  2. 2. Unapendwa na wazazi wako.

    Ni lazima uwaheshimie

    Ili Mungu akukaribie,

    Tena akuwe rafiki yako.

  3. 3. Mukumbuke Muumbaji wako

    Wakati ungaliki kijana.

    Ukimupatia nguvu yako

    Kwa kweli atafurahi sana.

(Ona pia Zb. 71:17; Omb. 3:27; Efe. 6:1-3.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine