WIMBO 133
Umuabudu Yehova Wakati Ungali Kijana
Maandishi
1. Yehova anakupenda sana.
Uko mutu wa maana sana.
Basi umutumikie sana,
Naye atakubariki sana.
2. Unapendwa na wazazi wako.
Ni lazima uwaheshimie
Ili Mungu akukaribie,
Tena akuwe rafiki yako.
3. Mukumbuke Muumbaji wako
Wakati ungaliki kijana.
Ukimupatia nguvu yako
Kwa kweli atafurahi sana.
(Ona pia Zb. 71:17; Omb. 3:27; Efe. 6:1-3.)