WIMBO 140
Utaishi Milele!
Maandishi
1. Wazia mu dunia
Tunaishi pamoja;
Na hamuna huzuni,
Muko tu amani!
(REFREE)
Imba kwa furaha.
Fanya yako yote,
Kusudi ufikie
“Kuishi milele.”
2. Wakati wenye kuya
Uzee utaisha,
Mateso na kilio,
Yote itaisha.
(REFREE)
Imba kwa furaha.
Fanya yako yote,
Kusudi ufikie
“Kuishi milele.”
3. Na tuko tunapenda
Kuwa mu Paradiso.
Kweli tutamusifu
Yehova milele.
(REFREE)
Imba kwa furaha.
Fanya yako yote,
Kusudi ufikie
“Kuishi milele.”
(Ona pia Yob. 33:25; Zb. 72:7; Ufu. 21:4.)