WIMBO 33
Umutupie Yehova Muzigo Wako
Maandishi
1. Baba unisikilize.
Ona magumu yangu.
Nakuomba unijibu;
tuliza moyo wangu.
(REFREE)
Umutupie Yehova
muzigo na magumu yote.
Hawezi kukuacha,
atakupatia nguvu.
2. Kama ningekuwa ndege,
ningeruka na kwenda
Mbali na watu wabaya,
nikuwe na amani.
(REFREE)
Umutupie Yehova
muzigo na magumu yote.
Hawezi kukuacha,
atakupatia nguvu.
3. Mungu ananifariji
na ananituliza.
Hata nipate magumu
Atanisaidia.
(REFREE)
Umutupie Yehova
muzigo na magumu yote.
Hawezi kukuacha,
atakupatia nguvu.