WIMBO 65
Fanya Maendeleo!
Maandishi
	- 1. Fanya maendeleo ya kiroho. - Uhubiri kweli ya Ufalme wa Mungu. - Ongeza ufundi wa kufundisha. - Mutegemee Mungu. - Yesu alihubiri sana; - Na siye pia tutaweza. - Omba Yehova akusaidie - Ukuwe mwaminifu. 
- 2. Uendelee, na usiogope! - Hubiria watu wote habari njema. - Utafute watu nyumba kwa nyumba. - Na umusifu Mungu. - Watu wakikuogopesha, - Endelea tu kutangaza - Kama Ufalme uko natawala. - Hubiri kwa bidii. 
- 3. Endelea kurudilia watu, - Na ujikaze kuwafundisha muzuri. - Omba Mungu akupe roho yake - Ili ikuongoze; - Penda watu unafundisha. - Usikuwe na ubaguzi. - Uwasaidie waendelee - Kumupenda Yehova. 
(Ona pia Flp. 1:27; 3:16; Ebr. 10:39.)