Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 54
  • “Hii Ndiyo Njia”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Hii Ndiyo Njia”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Ametupatia Wachungaji
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Sema Vile Unajisikiaka
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 54

WIMBO 54

“Hii Ndiyo Njia”

Maandishi

(Isaya 30:20, 21)

  1. 1. Kuko njia

    Yenye kuleta amani;

    Ni ile njia

    Yesu alifundisha;

    Njia ya zamani

    Yenye umejua.

    Ile njia iko mu

    Neno ya Mungu.

    (REFREE)

    Na hii njo njia ya uzima;

    Usipime hata kuiacha!

    Sikia, Mungu anasema:

    ‘Pita hapa, angalia mbele’.

  2. 2. Kuko njia

    Yenye kuwa ya upendo.

    Tutaipata

    Tukimutii Mungu.

    Ni mwenye upendo,

    Na ni mwema sana.

    Njia ya upendo,

    Na ituongoze.

    (REFREE)

    Na hii njo njia ya uzima;

    Usipime hata kuiacha!

    Sikia, Mungu anasema:

    ‘Pita hapa, angalia mbele’.

  3. 3. Kuko njia

    Yenye kuleta uzima.

    Tusiiache;

    Ni njia ya muzuri.

    Njia ya amani,

    Njia ya upendo,

    Njia ya uzima.

    Aksanti Yehova.

    (REFREE)

    Na hii njo njia ya uzima;

    Usipime hata kuiacha!

    Sikia, Mungu anasema:

    ‘Pita hapa, angalia mbele’.

(Ona pia Zb. 32:8; 139:24; Mez. 6:23.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine