WIMBO 54
“Hii Ndiyo Njia”
1. Kuko njia
Yenye kuleta amani;
Ni ile njia
Yesu alifundisha;
Njia ya zamani
Yenye umejua.
Ile njia iko mu
Neno ya Mungu.
(REFREE)
Na hii njo njia ya uzima;
Usipime hata kuiacha!
Sikia, Mungu anasema:
‘Pita hapa, angalia mbele’.
2. Kuko njia
Yenye kuwa ya upendo.
Tutaipata
Tukimutii Mungu.
Ni mwenye upendo,
Na ni mwema sana.
Njia ya upendo,
Na ituongoze.
(REFREE)
Na hii njo njia ya uzima;
Usipime hata kuiacha!
Sikia, Mungu anasema:
‘Pita hapa, angalia mbele’.
3. Kuko njia
Yenye kuleta uzima.
Tusiiache;
Ni njia ya muzuri.
Njia ya amani,
Njia ya upendo,
Njia ya uzima.
Aksanti Yehova.
(REFREE)
Na hii njo njia ya uzima;
Usipime hata kuiacha!
Sikia, Mungu anasema:
‘Pita hapa, angalia mbele’.