Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 4
  • “Yehova Ni Muchungaji Wangu”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Yehova Ni Muchungaji Wangu”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upendo Mushikamanifu wa Yehova Uko na Faida Gani Kwako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Tukuwe Washikamanifu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Unafurahia Upendo Mushikamanifu Kama Yehova?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 4

WIMBO 4

“Yehova Ni Muchungaji Wangu”

Maandishi

(Zaburi 23)

  1. 1. Yah ni Muchungaji wangu;

    Nitamufwata yeye.

    Anaujua moyo wangu;

    Na sitakosa kitu.

    Ananiongoza kwenye

    Nafasi zenye maji.

    Ananiongoza kwa upendo

    Ili nipumuzike.

    Aniongoza kwa upendo

    Ili nipumuzike.

  2. 2. Njia zako ni za haki,

    Ni zenye kupendeza.

    Naomba unisaidie

    Kuwa muaminifu.

    Hata nikuwe mu giza,

    Sitaogopa kitu.

    Ninajua unanichungaka,

    Uko Rafiki yangu.

    Najua unanichungaka,

    Uko Rafiki yangu.

  3. 3. Uko Muchungaji wangu;

    Kweli sitakuacha.

    Uko nanipatia nguvu

    Na unanibariki.

    Ninakutumainia,

    Uko Mungu wa kweli.

    Kwa upendo mushikamanifu

    Unanitegemeza.

    Upendo mushikamanifu

    Unanitegemeza.

(Ona pia Zb. 28:9; 80:1.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine