Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 11-12
  • Familia

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Familia
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 11-12

Familia

Yehova njo alianzishaka familia

Efe 3:​14, 15

Wazazi

Ona “Wazazi”

Baba

Ona “Baba”

Mama

Ona “Mama”

Bwana, Bibi

Ona “Ndoa”

Watoto

Watoto wako na daraka gani mu familia?

Law 19:3; Mez 1:8; 6:20; Efe 6:1

Ona pia Mez 4:1

Juu ya nini watoto wanapaswa kutii wazazi wao?

Efe 6:​1-3; Kol 3:20

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Zb 78:​1-8—Waisraeli wanaelezea watoto wao matendo ya mababu zao juu watoto wamutumainie Yehova na wasimuasi

    • Lu 2:​51, 52—Hata kama Yesu ni mukamilifu, wakati iko kijana anaendelea kutii wazazi wake wenye hawakamilike

Juu ya nini pengine inakuwaka nguvu kwa watoto kuheshimia wazazi wao?

Ro 12:​1, 2; 2Ti 3:​1, 2, 5

Mungu anaonaka namna gani watoto wenye kuasi?

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kum 21:​18-21—Sheria ya Musa inaamuru kuua mutoto mwenye anakuwa kichwa-nguvu, muasi, na mulevi, lakini mwenye anakatala kurekebishwa

    • 2Fa 2:​23, 24—Wakati kikundi ya vijana wanamukosea heshima nabii Elisha, mwenye alimuwakilisha Mungu, wengi wanauawa na dubu wawili

Namna gani wazazi wanapaswa kuona pendeleo ya kukomalisha watoto?

Zb 127:3; 128:3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Law 26:9—Kwa waisraeli, kuzala watoto ni baraka ya Yehova

    • Yob 42:​12, 13—Juu Yobu alionyesha uaminifu-mushikamanifu, Yehova anamubariki yeye na bibi yake kwa kuwapatia watoto wengine kumi

Namna gani watoto mu familia wanapaswa kutendeana mu njia yenye itamufurahisha Yehova?

Zb 34:14; Mez 15:23; 19:11

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mwa 27:41; 33:​1-11—Yakobo anafanya yote yenye anaweza juu ya kumuonyesha Esau heshima na juu ya kufanya amani; Esau naye anamutendea kwa upendo

Watoto wenye walishakomala, wako na daraka gani kuelekea wazazi wao na watate (ao wakambo) wao?

Mez 23:22; 1Ti 5:4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 11:​31, 32—Wakati anatoka Uru, Abrahamu anaenda na baba yake, Tera, na anamuhangaikia mupaka wakati ule baba yake anakufa

    • Mt 15:​3-6—Kupitia Sheria ya Musa Yesu anaonyesha kama watoto wenye kukomala wanapaswa kusaidia wazazi wenye wako mu uhitaji

Wakwe

Ona “Wakwe”

Watate

Ona “Watate”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine