Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 38-39
  • Kunywa Pombe

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kunywa Pombe
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 38-39

Kunywa Pombe

Biblia inakataza kunywa pombe kwa kiasi?

Zb 104:​14, 15; Muh 9:7; 10:19; 1Ti 5:23

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Yoh 2:​1-11—Yesu anafanya muujiza wake wa kwanza; anageuza maji kuwa divai ya muzuri na ile inasaidia bibi-arusi na bwana-arusi wasipate haya ku karamu yao ya ndoa

Kunywa sana na kulewa iko na hatari gani?

Mez 20:1; 23:​20, 21, 29-35; Isa 28:7; Ho 4:11

Watumishi wa Mungu wanaonaka ulevi namna gani?

1Ko 5:11; 6:​9, 10; Efe 5:18; 1Ti 3:​2, 3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 9:​20-25—Ulevi wa Noa unafanya mujukuu wake afikie kufanya zambi nzito

    • 1Sa 25:​2, 3, 36—Nabali, mwanaume mukali na mwenye hana akili, anafanya mambo ya mubaya sana, sawa vile kulewa

    • Da 5:​1-6, 22, 23, 30, 31—Mufalme Belshaza anakunywa divai mingi sana na anamutukana Yehova; kisha anauawa ileile usiku

Juu ya nini tunapaswa kuwa waangalifu juu ya kiasi ya pombe yenye tunakunywa hata kama hatulewe?

Mez 23:20; Isa 5:11; Lu 21:34; 1Ti 3:8

Ona pia 1Pe 4:3

Namna gani tunapaswa kusaidia Mukristo mwenzetu mwenye iko na tabia ya kunywa sana?

Ro 14:​13, 21; 1Ko 13:​4, 5; 1Te 4:4

Ona pia “Kujizuia”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine