Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 42
  • Kusema Uongo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kusema Uongo
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 42

Kusema Uongo

Yehova anaonaka namna gani watu wenye hawatimize ahadi?

Ro 1:​31, 32

Ona pia Zb 15:4; Mt 5:37

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kut 9:​27, 28, 34, 35—Farao anaitika kama ataacha watu wa Mungu waende, kisha tena anakatala

    • Eze 17:​11-15, 19, 20—Yehova anamupatia Mufalme Sedekia azabu juu alivunja agano yenye alifanya na mufalme wa Babiloni

    • Mdo 5:​1-10—Anania na Safira wanasema uongo; wanasema kama watapatia kutaniko makuta yote ya shamba

Yehova anaonaka namna gani wale wenye wanasingizia wengine?

Zb 15:​1-3; Mez 6:​16-19; 16:28; Kol 3:9

Ona pia Mez 11:13; 1Ti 3:11

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Sa 16:​1-4; 19:​24-30—Ziba, mutumishi wa Mefibosheti, anamusemea Mefibosheti uongo

    • Ufu 12:​9, 10—Iblisi, ao Mwenye Kusingizia Wengine, anashitaki watumishi wa Mungu kila siku

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine