TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Namna Ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza mu Mwezi wa 11 (Kampanye ya Pekee)
Ulizo: Vita na jeuri vitaishaka kweli?
Andiko: Zb 37:10, 11
Ulizo la Kuachia Mutu: Ni ahadi gani ya mu Biblia yenye inatupatia tumaini?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza mu Mwezi wa 12a
lizo: Uko na Mawazo Gani Juu ya Biblia?
Andiko: Ro 15:4
Ulizo la Kuachia Mutu: Ni ahadi gani ya mu Biblia yenye inatupatia tumaini?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
lffi uku. 5
Kumurudilia Mutub
Ulizo: Ni ahadi gani ya mu Biblia yenye inatupatia tumaini?
Andiko: Ufu 21:3, 4
Ulizo la Kuachia Mutu: Inaomba nini juu mutu aelewe Biblia?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
lffi uku. 7; wp21.2 uku. 14