Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w24 Mwezi wa 8 uku. 32
  • Kwa Wasomaji

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kwa Wasomaji
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
w24 Mwezi wa 8 uku. 32

Kwa Wasomaji

Wasomaji Wapendwa

Mu hii Munara wa Mulinzi, tutazungumuzia habari tano zenye kujibia hii maulizo:

  • Kwanza, Yehova aliweka mupango gani juu ya kusaidia wanadamu wapiganishe zambi?

  • Pili, Yehova ametufundisha namna gani maana ya toba ya kweli na amesaidia namna gani watenda-zambi kutubu?

  • Tatu, kutaniko ya Korinto ilipewa maagizo gani juu ya namna ya kutendea mutu mwenye alifanya zambi nzito lakini hakutubu?

  • Ine, namna gani wazee Wakristo leo wanapaswa kushugulikia watu wenye wanafanya zambi nzito?

  • Tano, kisha mutenda-zambi mwenye hatubu kuondolewa mu kutaniko, namna gani kutaniko inaweza kuendelea kumutendea kwa upendo na rehema?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine