Zaburi 89:48 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 48 Ni mwanadamu gani anayeweza kuishi na asione kifo kamwe?+ Je, anaweza kujiokoa mwenyewe* kutoka katika nguvu za Kaburi?* (Sela) Mhubiri 9:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Hosea 13:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Nitawakomboa kutoka katika nguvu za Kaburi;*Nitawaokoa kutoka katika kifo.+ Ewe Kifo, yako wapi maumivu yako makali?*+ Ewe Kaburi, yako wapi maangamizi yako?+ Macho yangu yatazuiwa yasione huruma. Matendo 2:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 kwa sababu hutaniacha* Kaburini,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.*+ Ufunuo 20:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
48 Ni mwanadamu gani anayeweza kuishi na asione kifo kamwe?+ Je, anaweza kujiokoa mwenyewe* kutoka katika nguvu za Kaburi?* (Sela)
14 Nitawakomboa kutoka katika nguvu za Kaburi;*Nitawaokoa kutoka katika kifo.+ Ewe Kifo, yako wapi maumivu yako makali?*+ Ewe Kaburi, yako wapi maangamizi yako?+ Macho yangu yatazuiwa yasione huruma.