-
Kumbukumbu la Torati 33:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Alisema hivi kumhusu Benjamini:+
“Mwache mpendwa wa Yehova akae kwa usalama kando yake;
Akimkinga siku nzima,
Atakaa katikati ya mabega yake.”
-