-
Mambo ya Walawi 10:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Basi Musa akamwita Mishaeli na Elsafani, wana wa Uzieli,+ ndugu ya baba ya Haruni, akawaambia: “Njooni hapa, waondoeni ndugu zenu mbele ya mahali patakatifu muwapeleke nje ya kambi.”
-