Ayubu 23:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Anapokusudia, ni nani anayeweza kumpinga?+ Anapotaka kufanya jambo, yeye hulifanya.+ Isaya 14:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 Kwa maana Yehova wa majeshi ameamua,Na ni nani anayeweza kulizuia?+ Mkono wake umenyooshwa,Ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+ Yohana 12:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+
27 Kwa maana Yehova wa majeshi ameamua,Na ni nani anayeweza kulizuia?+ Mkono wake umenyooshwa,Ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+
28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+