Kumbukumbu la Torati 19:18, 19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Waamuzi watachunguza jambo hilo kikamili,+ na ikiwa mtu huyo ni shahidi wa uwongo na ameleta shtaka la uwongo dhidi ya ndugu yake, 19 mnapaswa kumtendea kama alivyopanga kumtendea ndugu yake kwa hila,+ nanyi lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+ Methali 19:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Shahidi anayesema uwongo hatakosa kuadhibiwa,+Na yule anayesema uwongo kila anapopumua hataponyoka.+
18 Waamuzi watachunguza jambo hilo kikamili,+ na ikiwa mtu huyo ni shahidi wa uwongo na ameleta shtaka la uwongo dhidi ya ndugu yake, 19 mnapaswa kumtendea kama alivyopanga kumtendea ndugu yake kwa hila,+ nanyi lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+
5 Shahidi anayesema uwongo hatakosa kuadhibiwa,+Na yule anayesema uwongo kila anapopumua hataponyoka.+