-
Mambo ya Walawi 18:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Misri ambako mliishi, wala msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Kanaani ambako nawapeleka.+ Msifuate sheria zao.
-
-
Kumbukumbu la Torati 12:30Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
30 jihadharini msinaswe baada ya mataifa hayo kuangamizwa kutoka mbele yenu. Msiulize hivi kuhusu miungu yao: ‘Mataifa haya yaliabuduje miungu yake? Mimi pia nitafanya vivyo hivyo.’+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 33:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Alitenda maovu machoni pa Yehova, akafuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.+
-