Kutoka 5:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba nitii sauti yake na kuwaruhusu Waisraeli waende zao?+ Simjui Yehova kamwe, na isitoshe, sitawaruhusu Waisraeli waende zao.”+ Kutoka 14:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Kwa hiyo Yehova akauacha moyo wa Farao mfalme wa Misri uwe mkaidi, naye akawafuatia Waisraeli, ambao walikuwa wakienda zao kwa ujasiri.*+ Waroma 9:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba nitii sauti yake na kuwaruhusu Waisraeli waende zao?+ Simjui Yehova kamwe, na isitoshe, sitawaruhusu Waisraeli waende zao.”+
8 Kwa hiyo Yehova akauacha moyo wa Farao mfalme wa Misri uwe mkaidi, naye akawafuatia Waisraeli, ambao walikuwa wakienda zao kwa ujasiri.*+