-
Kutoka 30:26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
26 “Utayatumia kutia mafuta hema la mkutano+ na sanduku la Ushahidi,
-
-
Kutoka 30:28Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa na vyombo vyake vyote, na lile beseni pamoja na kinara chake.
-
-
Mambo ya Walawi 8:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Baada ya hayo akanyunyiza kiasi fulani cha mafuta hayo juu ya madhabahu mara saba na kuitia mafuta madhabahu, vyombo vyake vyote, na pia beseni na kinara chake, ili kuvitakasa.
-