-
Mambo ya Walawi 6:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova, naye atasamehewa kosa lolote ambalo lilifanya awe na hatia.”+
-
-
Mambo ya Walawi 19:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Kuhani atamtoa kondoo dume huyo wa dhabihu ya hatia ili kufunika dhambi ya mwanamume huyo mbele za Yehova, naye atasamehewa dhambi aliyotenda.
-