-
Mambo ya Walawi 7:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 “‘Lakini mtu yeyote asiye safi akila nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, ni lazima auawe.+
-
-
Mambo ya Walawi 22:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 “‘Mtu akimtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kutimiza nadhiri au akiitoa ikiwa toleo la hiari, anapaswa kutoa mnyama asiye na kasoro kutoka katika mifugo yake au kundi lake, ili apate kibali. Mnyama huyo hapaswi kuwa na kasoro yoyote.
-