-
Mambo ya Walawi 7:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Sheria kuhusu dhabihu ya dhambi ni sawa na sheria kuhusu dhabihu ya hatia; dhabihu hiyo ni ya kuhani aliyeitoa kufunika dhambi.+
-
-
1 Wakorintho 9:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula vitu vya hekalu, na kwamba wale wanaohudumu kwa kawaida kwenye madhabahu hupata fungu lao kutoka kwenye madhabahu?+
-
-
1 Wakorintho 10:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Tazameni Israeli kwa njia ya kimwili: Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+
-