Kutoka 38:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 38 Akatumia mbao za mshita kutengeneza madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa. Ilikuwa ya mraba, yenye urefu wa mikono mitano,* upana wa mikono mitano, na kimo cha mikono mitatu.+
38 Akatumia mbao za mshita kutengeneza madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa. Ilikuwa ya mraba, yenye urefu wa mikono mitano,* upana wa mikono mitano, na kimo cha mikono mitatu.+