-
Mambo ya Walawi 11:40Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
40 Yeyote anayekula sehemu yoyote ya mzoga huo anapaswa kufua mavazi yake, hatakuwa safi mpaka jioni.+ Na yeyote anayebeba mzoga huo anapaswa kufua mavazi yake, naye hatakuwa safi mpaka jioni.
-