-
Mambo ya Walawi 9:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Haruni akaenda mara moja kwenye madhabahu na kumchinja yule ndama wa dhabihu ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe.+
-
-
Mambo ya Walawi 9:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Akateketeza mafuta na figo na mafuta yaliyo juu ya ini kutoka katika dhabihu ya dhambi ili vifuke moshi kwenye madhabahu, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+
-