-
Hesabu 15:28Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 Kisha kuhani atatoa dhabihu ili mtu aliyetenda dhambi mbele za Yehova bila kukusudia asamehewe dhambi yake, yaani, atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi yake, na mtu huyo atasamehewa.+
-
-
1 Yohana 1:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Mwana wake hutusafisha kutoka katika dhambi yote.+
-