Kumbukumbu la Torati 4:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Naye akawatangazia agano lake,+ alilowaamuru mshike—zile Amri Kumi.*+ Kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe.+ Yeremia 14:21 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 21 Kwa ajili ya jina lako, usitukatae;+Usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu. Kumbuka, nawe usivunje agano lako pamoja nasi.+
13 Naye akawatangazia agano lake,+ alilowaamuru mshike—zile Amri Kumi.*+ Kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe.+
21 Kwa ajili ya jina lako, usitukatae;+Usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu. Kumbuka, nawe usivunje agano lako pamoja nasi.+