-
Mambo ya Walawi 27:34Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
34 Hizo ndizo sheria ambazo Yehova alimpa Musa kwenye Mlima Sinai ili awape Waisraeli.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 6:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti, na sheria ambazo Yehova Mungu wako ametoa ili ufundishwe, ili uzishike unapovuka kuingia katika nchi ambayo utaimiliki,
-