-
Mambo ya Walawi 12:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini ikiwa hawezi kuleta kondoo, basi anapaswa kuleta njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga,+ mmoja kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa na wa pili kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, naye kuhani atamtolea dhabihu hizo ili kufunika dhambi yake, kisha atakuwa safi.’”
-
-
Mambo ya Walawi 14:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 “Hata hivyo, ikiwa mtu huyo ni maskini na hawezi kupata vitu hivyo, basi ataleta mwanakondoo dume mmoja atolewe kuwa dhabihu ya hatia na toleo la kutikiswa, ili atoe dhabihu ya kufunika dhambi yake, pia ataleta sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja* ya unga laini uliochanganywa na mafuta ili uwe toleo la nafaka, logi ya mafuta,
-