-
Kumbukumbu la Torati 2:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Tulitembea kwa miaka 38 kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipoangamia kutoka kambini, kama Yehova alivyokuwa amewaapia.+
-
-
1 Wakorintho 10:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Hata hivyo, Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa maana waliangamizwa nyikani.+
-