-
Kutoka 18:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Basi Yethro, baba mkwe wa Musa, pamoja na wana na mke wa Musa, wakaja kwa Musa nyikani ambako alikuwa amepiga kambi karibu na mlima wa Mungu wa kweli.+
-
-
Hesabu 9:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Yehova akazungumza na Musa katika nyika ya Sinai katika mwezi wa kwanza+ wa mwaka wa pili baada ya wao kutoka nchini Misri, akamwambia:
-