-
Mambo ya Walawi 26:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Lakini msiponisikiliza au kushika amri hizo zote,+
-
-
Kumbukumbu la Torati 1:42Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
42 Lakini Yehova akaniambia, ‘Waambie, “Msipande kwenda kupigana, kwa sababu sitakuwa pamoja nanyi.+ Mkienda, maadui wenu watawashinda.”’
-