2 Timotheo 2:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Ingawa hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama, ukiwa na muhuri huu: “Yehova* anawajua walio wake,”+ na “Kila mtu anayeliitia jina la Yehova*+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”
19 Ingawa hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama, ukiwa na muhuri huu: “Yehova* anawajua walio wake,”+ na “Kila mtu anayeliitia jina la Yehova*+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”