-
Mambo ya Walawi 2:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Mkimtolea Yehova mavuno ya kwanza ya nafaka iliyokomaa yakiwa toleo la nafaka, mnapaswa kutoa masuke mabichi yaliyokaangwa kwa moto, chengachenga za nafaka mbichi iliyopondwa, kuwa toleo la nafaka la mavuno yenu ya kwanza yaliyokomaa.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 18:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Mnapaswa kumpa mazao ya kwanza ya nafaka yenu, divai yenu mpya, mafuta yenu, na manyoya ya kwanza yaliyokatwa ya kondoo wenu.+
-