-
Kumbukumbu la Torati 18:1, 2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 “Makuhani Walawi, naam, kabila lote la Lawi, halitakuwa na fungu au urithi pamoja na Waisraeli. Watakula dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova, ambazo ni urithi wake.+ 2 Kwa hiyo hawapaswi kuwa na urithi kati ya ndugu zao. Yehova ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.
-
-
Ezekieli 44:28Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 “‘Na huu ndio utakaokuwa urithi wao: Mimi ndiye urithi wao.+ Msiwape mali yoyote katika Israeli, kwa maana mimi ndiye mali yao.
-