Mwanzo 30:24 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 24 Basi akampa mwana huyo jina Yosefu,*+ akisema: “Yehova ananiongezea mwana mwingine.” Mwanzo 35:24 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 24 Wana wa Raheli walikuwa Yosefu na Benjamini. Mwanzo 46:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 Katika nchi ya Misri, Asenathi+ binti ya Potifera kuhani wa Oni,* alimzalia Yosefu wana hawa: Manase+ na Efraimu.+
20 Katika nchi ya Misri, Asenathi+ binti ya Potifera kuhani wa Oni,* alimzalia Yosefu wana hawa: Manase+ na Efraimu.+