Kumbukumbu la Torati 29:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 Yehova hatakuwa tayari kumsamehe.+ Badala yake, hasira kali ya Yehova itawaka dhidi ya mtu huyo, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki hakika itampata,+ na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina la mtu huyo kutoka duniani.*
20 Yehova hatakuwa tayari kumsamehe.+ Badala yake, hasira kali ya Yehova itawaka dhidi ya mtu huyo, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki hakika itampata,+ na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina la mtu huyo kutoka duniani.*