Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 2 Mambo ya Nyakati 15:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Kwa hiyo akatoka kwenda kukutana na Asa, akamwambia: “Nisikilizeni, Asa na watu wote wa Yuda na Benjamini! Yehova yuko pamoja nanyi maadamu mnaendelea kuwa pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta, atawaruhusu mumpate,+ lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:20
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 20 Roho ya Mungu ikamjia* Zekaria mwana wa kuhani Yehoyada,+ naye akasimama mahali palipo juu mbele ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli anasema hivi: ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova? Hamtafanikiwa! Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye, atawaacha ninyi.’”+

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki