Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Kumbukumbu la Torati 4:15, 16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 “Kwa hiyo, jihadharini sana—kwa sababu hamkuona umbo lolote siku ambayo Yehova alizungumza nanyi kule Horebu kutoka katikati ya moto— 16 ili msitende upotovu kwa kujitengenezea sanamu ya kuchongwa yenye umbo la mfano wowote, mfano wa mwanamume au mwanamke,+

  • Kumbukumbu la Torati 4:23
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Iweni waangalifu msisahau agano la Yehova Mungu wenu ambalo alifanya pamoja nanyi,+ na msijitengenezee sanamu ya kuchongwa, umbo la kitu chochote mlichokatazwa na Yehova Mungu wenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu anayetengeneza sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya chuma,*+ kitu kinachomchukiza Yehova,+ kilichotengenezwa na mikono ya fundi,* na ambaye amekificha.’ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’*)

  • Matendo 17:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki