-
Zaburi 78:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Kwa sababu hawakudhihirisha imani katika Mungu;+
Hawakuutumaini uwezo wake wa kuwaokoa.
-
-
Waebrania 3:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
-
-
Waebrania 3:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuingia kwa sababu walikosa imani.+
-