Methali 3:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Mathayo 5:42 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 42 Mpe yule anayekuomba, wala usimpe kisogo yule anayetaka umkopeshe.*+ Luka 12:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.
33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.