-
Kutoka 12:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, na siku ya saba, mtakuwa na kusanyiko lingine takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote siku hizo.+ Mtatayarisha tu chakula kitakacholiwa na kila mtu.
-
-
Mambo ya Walawi 23:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini kwa siku saba mtamtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto. Siku ya saba kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.’”
-