Mambo ya Walawi 18:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 “‘Usifanye ngono na mke wa baba yako.+ Utamwaibisha baba yako.* Mambo ya Walawi 20:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Kumbukumbu la Torati 27:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mke wa baba yake, kwa sababu amemwaibisha baba yake.’*+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) 1 Wakorintho 5:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
20 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mke wa baba yake, kwa sababu amemwaibisha baba yake.’*+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)