Yoshua 11:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+
8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+