1 Wafalme 6:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli,+ nami sitawaacha watu wangu Waisraeli.”+ Zaburi 94:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+Wala hatautupa urithi wake.+ Waroma 11:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Basi ninauliza, je, Mungu aliwakataa watu wake?+ La hasha! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli, wa uzao wa* Abrahamu, kutoka kabila la Benjamini.
11 Basi ninauliza, je, Mungu aliwakataa watu wake?+ La hasha! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli, wa uzao wa* Abrahamu, kutoka kabila la Benjamini.